June 11, 2017

 



 Baadhi ya watumishi wa kiwanda hicho wakimpokea Mkurugrnzi wa kiwanda cha Sigara cha Philip Morris Tanzania Limited Bi,Dagmara Piasecka[kulia]  ambaye ni raia ya Marekani

 Mkurugrnzi huyo akiingia ndani ya kiwanda hicho








 Bi, Dagmara ambaye ndiye mkurugenzi wa kiwanda hicho akipokea Mwenye wa Uhuru baada ya kuwasili kiwandani hapo
 Meneja wa kiwanda hicho naye akipokea Mwenye huo




 Mkuu wa jeshi la Polisi Wilaya ya Morogoro mjini OCD Nsanto[kati] akiwa na Vijana wake wakihakikisha mambo yote yanakwenda sawa kwenye mbio hizo za Mwenye
 Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe Regina Chonjo akizungumza baada ya uwekwa jiwe la msingi la kiwanda hicho
 Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa mwaka huu Bw Amour Hamad Amour akimuonyesha Sigara zinazozalishwa na kiwanda hicho Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe Regina  Chonjo

 Meneja wa kiwanda hicho Bw Evans Mlelwa akizungumza na Waanadishi wa habari

 Na Dustan Shekidele
 Mwenge wa Uhuru jana umezinduka kiwanda kikwa cha kisasa cha kutengezeza Sigara aina ya Marlboro.
Kiwanda hicho kinachojulikana kwa jina la Philip Morris Tanzania Limited kipo Kata ya Kingolwira Manispaa ya Morogoro jirani kabisani na kilipo kiwanda kinginge cha Tumbaku cha Alliance One.
Akizungumza na Waandishi wa habari  baada ya kiwanda hicho kuzinduliwa na Mbio za Mwenge Meneja wa Viwanda vinavyo zalisha Sigara za Marlboro Afrika Bw Evans Mlelwa amsema wameamua kujenga kiwanda hicho ikiwa ni njia moja wapo ya kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano ya inayohamasisha ujenzi wa Viwanda. 
“ Mbali na hilo kiwanda hiki kitalipa kodo stahiki za serikali,tutatoa ajiri kwa wananchi sambamba na kusaidi huduma za Jamii” alisema bosi huyo

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE