Chama cha Wananchi CUF, kimetangaza rasmi kumaliza mgogoro uliokikumba chama hicho, miezi kadhaa iliyopita. Katika taarifa kwa waandishi wa Habari chama hicho kimethibitisha kumaliza mgogoro huo na kuthibitisha kupatikana kwa bodi mpya ya Wadhamini.
Kilio ACT ikipigania haki ya uchaguzi
-
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema safari ya kuitafuta haki ya uchaguzi
inaendelea. Lakini papohapo, kingependa kuona Mahkama
0 MAONI YAKO:
Post a Comment