June 05, 2017

Waziri wa mambo ya ndani wa Uturuki aahidi kupambana vilivyo na ugaidi 

Waziri wa mambo ya ndani wa Uturuki Süleyman Soylu  afahamisha kuwa Uturuki itapambana vilivyo dhidi ya ugaidi
Waziri wa mambo ya ndani wa Uturuki Süleyman Soylu katika kitongoji cha Midyat amewatakia waislamu na wakaazi wa eneo hilo Ramadhani njema na kuwafahamisha kuwa serikali itapambana vilivyo na ugaidi.
Vile vile aliwatakia askari walinda usalama Ramadhani njema na kuwataka  kulinda vema usalama wa raia.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE