Zitto Kabwe afunguka baada ya kuachiwa
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT – Wazalendo baada ya kukamatwa na polisi na kuachiwa kwa dhamana amesema kuwa Rais alisema kuwa akamatwe na asingekamatwa angeshangaa: Tazama video hii Zitto Mh. akieleza
&…Read More
Aslay avuta ndinga mpya
Msanii wa muziki wa bongo fleva Aslay Isihaka ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Natamba' amefunguka na kushukuru uongozi wake mpya kwa kufanikisha yeye kuweza kupata …Read More
New Music: Yemi Alade ft. Youssoupha – Hustler
Anatambulika kwa jina la Mama Afrika, lakini jina lake ni Yemi Alade. Ametuletea wimbo wake mpya unaitwa Hustler hapa akimshirikisha mwanamuziki Youssoupha.
Listen Up and Enjoy
…Read More
Group la Whatsapp lazinduliwa kwa mbwembwe Dar
NA
K-VIS BLOG/Khalfan Said
WAANDISHI
wa habari ambao ni wanachama wa kundi la Whatsapp lijulikanalo kama TASNIA
HALISI wamezindua kundi hilo leo Oktoba 28, 2017 kwa sherehe kabambe ya
kukata na shoka iliyohanikizwa…Read More
Video: Diamond platnumz aamua sasa, kuja na Omarion
Mwanamuziki Diamond Platnumz, ameonekana akifanya wimbo wake mpya na mwanamuziki wa kimarekani Omarion. Picha zilizopo Instagram zinadhihirisha Kolabo hilo la kimataifa.
Bofya Video hapa chini kutazama seheme…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment