September 09, 2017

Tukio la mbunge wa Singida Tundu Lissu, limewagusa watu wengi wa kada mbalimbali nchini na nje ya Nchi. Wasanii mbalimbali wametunga nyimbo za maombolezo kuhusiana na tukio hili. Hapa tumekuletea wimbo wa mwanamuziki Mr. Slow anakwambia Lissu/ Watu wasiojulikana

Related Posts:

  • Waliowajeruhi polisi Tanga wasakwaJeshi la Polisi nchini  limesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga. Askari hao walijeruhiwa wakati wakifanya kazi ya kuwatafuta watuhumiwa wa uhalifu wa kutumia silaha wanaodaiwa kuw… Read More
  • Mkurugenzi TPA asimamishwa kazi Waziri wa Usafirishaji Samweli Sitta.  Taarigfa zilizotufiki punde zinasema kuwa Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta amsimamisha kazi kaimu mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya Bandari Tanzania mhandisi Madeni Kipande kutok… Read More
  • Abdu Kiba awataka wasanii wa Tanzania kufanya muziki wa Live Band Ali Kiba na Abdu Kiba wakiimba kwa pamoja Ali Kiba akiimba kwa hisia katika tamsha la Sauti za Busara visiwani Zanzibar Vacalist wa Ali Kiba wakiimba kwa hisia Ali Kiba akiendeleza burudani Umati wa… Read More
  • Bodaboda wezi wa simu, wakamatwa na kuchomewa pikipiki   Maeneo karibu na Ocean Road, vijana maarufu kwa ukwapuaji wa simu za mkononi wakiwa kwenye pikipiki walimkwapulia dada mmoja simu. tukio hilo lilionwa na mtu aliyekuwa kwenye gari ndipo alipoanza kuwafukuzia na k… Read More
  • CUF- Wampeleka Lipumba UKAWACUF kimesema kimepanga kulipeleka jina la Profesa Ibrahimu Lipumba ili kuomba ridhaa ya kugombea kiti cha urais. Naibu mkurugenzi wa uchaguzi wa chama cha wananchi CUF Bwana Shaweji Mketo amesema chama cha wananchi CUF kimepa… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE