
Mwanamuziki mkongwe nchini Tanzania Nguza Viking maarufu kama babu seya anayetumikia kifungo cha maisha yeye na mwanaye kwa kesi ya kulawiti, ameomba msaada mwingine kwa Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. John Pombe Magufuli. Katika barua hiyo, Babu Seya amezungumza vitu vya kusikitisha ambavyo vinaweza kukutoa machozi. Isome hapa chini
0 MAONI YAKO:
Post a Comment