Aliyekuwa kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Profesa Kitila Mkumbo amejiunga na
Chama cha Mapinduzi (CCM), taarifa ya Prof. Mkumbo kujiunga CCM
imetolewa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Martha Mlata.
Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175
Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra.
Moto
huo uliozuka siku ya jumatano usiku ulianza wakati wakaazi wa mji huo
walipok…Read More
New VIDEO | JOZZ D - My Candy
Song Name/Jina la Nyimbo: My Candy.Artist Name/Jina la Msanii: JOZZ D .Genre/Aina ya Nyimbo: BONGO FLEVA & AFRO BEATSDirected/Mwongozaji: Remy Ivo Lupamba. Producer/Mtengenezaji: JOHNBGRAND.Studio: GRANDMASTER.C…Read More
FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa
Shirika la maafisa wa polisi wa
kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita
wanaohusishwa na FIFA kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi.
Agizo
hilo linawalenga maafisa wanne wa mashirika makuu p…Read More
Ulikuwa wapi ya Hussein Machozi
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hatimaye msanii wa bongo fleva Hussein Machozi amekuja na hii hapa mpaya kabisa.
Download hapa chini
…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment