Kwa wale wazee wa sasa , vijana wa zamani, naamini kabisa huwa mnapousikia huu wimbo hasa katika kipindi hiki cha Mwaka mpya , huwa mnakumbuka mbali sana. Ndiyo ni wimbo wenye hisia sana , kwa upande wangu binafsi japo sikuwepo enzi unatoka , ila nimeujua na kuuelewa sana . Ni wimbo ulioimbwa na Hamza Kalala akiwa na Bantu Group miaka hiyo. Unaitwa Tufurahi na mwaka mpya
January 05, 2018
10:39 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Sepp Blatter akwezwa Rais wa shirikisho la soka duniani Sepp Blatter amefananishwa na manabii waliopita, kama vile rais wa zamani wa Afrika kusini hayati Nelson Mandela pamoja na Winston Churchill wakati wanachama kumi wa shiri… Read More
New Audio/ Bex wa Music ft Diamond -ukisinzia Huu ni wimbo mpya kabisa toka kwa mwanamuziki Bex wa Music toka mkoani Morogoro, hapa akiwa na Diamond $Tessy. Sikiliza na Download hapa chini … Read More
Wale mashabiki wa Msaga Sumu, hii inawahusu sana watu wangu Kwa style yake ya kuimba imemfanya awe Mfalme wa Uswahilini, Wanamuita Msaga Sumu huku kwetu uswahili tunamjua sana si jambo la kushangaa maeneo ya Chamwino,Mafisa, Msamvu, Kichangani, Mwembesongo na mpaka sasa a… Read More
Waislamu watakiwa kujiepusha na uvunjaji amani Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) nchini, Ernest Mangu na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini, wameungana kwa pamoja na kukemea vitendo vya uhalifu. Viongozi hao wamezitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto wao ili … Read More
Zitto Kabwe akanusha taarifa za kumchongea Mengi, asema ni siasa chafu zinatumika juu yake na ACT Kufuatia taarifa zinazomtuhumu kiongozi wa Chama cha ACT -Tanzania kwamba amemchonganisha Mengi kwa Kikwete, hatimaye Zitto Zuberi Kabwe, amefunguka na kuhudhunishwa na taarifa hizo. Akihutubia wakazi wa Kaham… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment