Timu hiyo ilikuwa ikijiandaa kushiriki katika michuano ya Europa League msimu ujao wa 2018/19 baada ya kushika nafasi sita katika Serie A msimu uliopita.
Milan inayonolewa na Gennaro Gattuso ipo hatarini kupoteza mastaa wake wengi licha ya kuwa chini ya umiliki wa bilionea wa China, Li Yonghong. Shirikisho la Soka la Ulaya (Uefa) limetoa nafasi ya Milan kukata rufaa
0 MAONI YAKO:
Post a Comment