Jimmy Flavour ni mmoja ya wasanii toka mkoani Morogoro. amefanya nyimbo kadhaa na zikafanya powa sana ndani ya Morogoro. nyimbo kama Zohari,usingoje nikifa, na kushirikishwa nyimbo kadhaa na msanii Agatha Mbale. Lakini kwa sasa ukizungumzia Hit song ndani ya Mkoa wa Morogoro, hutosita kuutaja wimbo unaitwa Watabamba. Huu wimbo umebamba kweli kwa Morogoro hasa kwenye Vigodoro, na Radio mbalimbali. Respect Kwako Jimmy , ngoma kali inabamba.
Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow
-
MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili na Utalii Bw.
Abdallah Mvungi leo Mkoani Morogoro ameongoza kikao kazi cha Wataalam
kutoka Taasis...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment