April 20, 2012


                                                    MFALME  SELE


Mfalme  wa  Rhymes  nchini  Tanzania  ktk  nynja  ya bongo  freva  Afande  Sele,  king  Suleiman,  baba  tunda,  simba  zee. amempngeza  msanii  mwenzake  wa bongo  fgreva  Roma  Mkatoliki  kwa  kubeba  tuzo  mbili  kaika  kili  music  award  2011-2012 .  Sele  amesema  anampongeza  kwa  kutwaa  tuzo  hizo  kutokana  na  ukweli  wa  kazi  zake.
    "  nampongeza  mdogo  wango  roma  kwa  kubebe  tuzo  mbili  ya  wimbo  bora  wa  hip hop  na  mwana  hip  hop  bora" amesema  sele  kwa  upande  mwingine  ameonekana  kuzikosoa  tuzo  hizo  za  kili  zinazolatibiwa  na  BASATA na  kudhaminiwa  na  kampuni  ya  bia  Tanzania  kupitia  bia  yake  ya  kilimanjaro. Kwa kweli  mi  huwa  sizielewi  izi  tuzo,  "wameshindwa  kumpa  hata mdogo Belle  9,  nani  kama  belle,  bele  amefanya  kazi  kibao  na  zenye  ku  hit,  izi  tuzo  wanapeana  wenyewe  wanaoishi  Dar,  angalia  kuna  msanii  gani  wa  kike  aliyetamba  zaidi  ya  Dayna,  Dayna  amefanya  vizuri  sana  na  anazidi  kufanya  vyema,  lakini  ona  ndiyo  maana  mimi  niliamua  kukataa  kushirikishwa  kwenye  tuzo  zao,  sisi  wa  mikloani  hazituhusu  hasa  Morogoro" amesema  sele
    Kwa  upande  wa  ubunge  Sele  amesema  endapo  ataona  mamnbo  yanakwenda  ndivyo sivyo  itamlazimu  kugombe  ubunge. amesema  ubunge  ni  wito  na  sio  uheshimiwa  ispokuwa  ni  sehemu  ya  uwakirishi  wa  mawazo  ya  wananchi,  sas  mbunge  akijifanya  muheshimiwa,  yeye  ndiyo  bosi,  hawatumikii  waliomchagua yuko  ladhi  kuwania  nafasi  hiyo  bila  kuweka  wazi  kupitia  chama  gani.  kuhusu  kesi  yake  amewatoa shaka  wananchi  wasiwe  na  wasi  kesi  inaenda  vizuri  na  ushirikiano  na    mahakama  ni  mzuri.

Related Posts:

  • New Video/Team Racers- Tunavuka mipaka  Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye kundi la muziki wa Hip Hop toka mkoani Morogro Team Racers limeachia video yake mpya ya Tunavuka Mipaka. Hip Hop / Trap Song Preformed By TEAM RACERS  Audio Produc… Read More
  • Aliyewaua waingereza kunyongwa hadi kufaKitanzi cha kunyongea watu Mahakama ya Malaysia imemkuta na hatia ya mauaji mtu mmoja kwa tuhuma za mauaji ya wanafunzi wawili wa udaktari kutoka nchini Uingereza.Mauaji hayo yanadaiwa kufanyika August mwakajana katika kisiwa… Read More
  • Mtanzania akamatwa kwa ugaidiUmmul-Khayr Sadir Abdul (19). Vyombo vya usalama nchini Kenya, vinawashikilia wasichana watatu akiwamo Mtanzania, kwa kile kunachodaiwa kutaka kujiunga na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Somalia. Taarifa kutoka kwa Kamish… Read More
  • Taylor kukamilisha kifungo UingerezaAliyekuwa rais wa Liberia Charles Taylor ameamrishwa na mahakama kutumikia kifungo chake kilichosalia nchini Uingereza baada ya kukataliwa ombi lake la kuhamishiwa nchini Rwanda. Alitaka kuhamishiwa Rwanda kwasababu anadai ku… Read More
  • New Audio/ Ainea - Najuta kupenda Baada ya kufanya poa na ngoma yake ya sinampangoa naye aliyomshirikisha MR. Blue, hatimaye mkali wa muziki wa Bongo fleva toka mkoani Dodoma Ainea ameachi ngoma yake hii mpya kabisa ambayo tayari imeshaanza kufanya poa k… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE