August 29, 2012


Habari ambazo zimesambaa mtaani hasa  Jijini Dar es salaam, zinamhusu msanii wa muziki wa kizazi Ali Kiba, inasemekana kwamba Hivi karibuni Familia yake inayoishi Kariakoo karibu na Club ya Soccer ya YANGA, eti walivamiwa na Majambazi/ Wauaji huku wakiwa na Silaha za Moto/ Bunduki, sasa inasemekana mpaka sasa hivi kuna mwanamke amekamatwa akihusishwa na Tukio hilo na inasemakana kwamba Jeshi la Polisi lilipo Jaribu kumhoji Mwanamke huyo akajibu kuwa eti wametumwa na Msanii Khalid Mohammed/ TID eti wakamuue Ali Kiba, Mwanamke huyo anashikiliwa na Polisi na Leo TID ameitwa Polisi kwa mahojiano zaidi, tulipojaribu  kuongea na Pande zote Mbili TID na Ali Kiba, Tid alijibu yeye hajui chochote na anashangaa kuhusishwa na Tukio hilo ukizingatia yeye hana beef yoyote na Ali Kiba, na Upande wa Ali Kiba  wakasema muda ukifika ndio watatoa Taarifa rasmi kwa umma

Related Posts:

  • Al-Shabab wako 'huru' kushiriki soka SomaliaWapiganaji wa Alshabaab Mkuu wa shirikisho la soka nchini Somalia amesema kuwa kundi la wapiganaji wa al-Shabab liko huru kushiriki katika ligi kuu ya soka nchini humo. Abdiqani Said Arab amemuambiwa mwandishi wa BBC jijini N… Read More
  • CCM wamjibu Maalim Seif Muda mfupi baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad kutangaza kasoro na athari za kurudia Uchaguzi uliofutwa kinyume cha sheria na Jecha Salim Jecha, viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wam… Read More
  • Mufti wa Tanzania ampa baraka Mbwana Samatta Jana tarehe 11 January 2016, Mwanasoka Bora Afrika Ndg. Mbwana Samatta alimtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir katika ofisi kuu za Bakwata zilizopo Kinondoni Jijini Dar Es Salaam. Mufti Mkuu mbali na kumpa… Read More
  • Ronaldo amtamani Messi   Masaa machache kabla ya tuzo ya mwanasoka bora wa dunia kwa mwaka 2015 haijapata mmiliki wake, wachezaji watatu waliowania tuzo hiyo walikuwa na mkutano na waandishi wa habari. Katika mkutano huo uliofanyika muda… Read More
  • Magazeti ya leo january12 ya 2016 yanasema hivi Karibu mpenzi mwana familia wa ubalozini.blogspot.com . Leo ikiwa ni jumanne ya January 12 ,2016 ikiwa ni siku ya mapinduzi ya Zanzibar, tumekukusanyia vichwa vya habari za magazetini kama yalivyotufikia. … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE