September 17, 2012

FA   AFUNIKA  MBAYA

AFANDE  SELE  ADHIHIRISH  UKONGWE  WAKE  AKINUKISHA NOMA

DAYNA  AWAKALISHA  LINAH,  RACHEL

   Hapa  mwana  dada   DAYNA  NYANGE  a.k.a mkali  wao  akiingia katika  jukwaa  la  fiesta  Jamhuri  Stadium kwa  style  ya  pekee  kabisa.  Dayna  alikata  kiu  ya  mashabiki   wake  mjini  hapa.  baada  ya  kufanya  show  ambayo  haijawahi  kutyokea.
 
  Mkali  wao  Dayna  akifanya  vitu  vyake  bdani  ya  uwanja  wa  jamhuri   usiku  wa  jana  katika  jukwaa  la  fiesta   2012  bhaaaassss
 

 Baadhi ya wasanii nyota wa Filamu hapa nchini wakiwashukuru wakazi wa Morogoro kwa namna moja ama nyingine na kuwakubali vilivyo katika fani ya uigizaji.
 Dj Ben a.k.a JB akimtunza hela msanii wa kundi la OriginalComedy,Mpoki,kulia kwake ni Ray  akiwahamasisha mashabiki
 Msanii mwingine mahiri katika fani ya filamu Ray Kigosi akicheza sebene mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa Morogoro  na vitongoji vyake waliojitokeza kuwashuhudia wasanii mbalimbali wakitumbuiza kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2012.
Msanii nyota wa Filamu hapa nchini Wema Sepetunaye  alikonga  nyoyo  za  mashabiki  siku  hiyo
Msanii muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Recho akiimba kwa hisia jukwaani kwenye tamasha la Serengeti Fiesta ndani ya uwanja wa Jamhuri,mjini Morogoro


Pichani kulia ni Ofisa Mahusiano wa kampuni ya Clouds Media Group,Simalenga akizungumza jambo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Mh Joel Bendera ambaye ni mgeni rasmi usiku wa  jana ndani ya uwanja wa Jamhuri,wakati tamasha la Serengeti Fiesta  2012


Mkali wa Supa Nyota,Jo Meka akikamua jukwaani.
,Dj Zero kazini

Momba  naye  hakuwa nyuma
Wadau mbalimbali wa tamasha la Fiesta wakifuatilia burudani  kwa  ukaribu

                                             Mpoki  akiwa  na  wadau
Ni burrudani tu ndani ya muonekano mpya wa tamasha la serengeti fiesta 2012.
Mmoja wa wasanii chipukizi kutoka mjini Morogoro akitumbuiza usiku huu kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2012
Msanii chipukizi kutoka nyumba ya vipaji,THT,Alini Nipishe akiimba na shabiki wake jukwaani



 Ommy Dimpoz pichani kati sambamba na kundi lake wakitumbuiza kwenye jukwaa la Fiesta usiku huu.




                                                    kivazi  cha   wema  sepetu  haibu  tupu.

Wakazi wa Morogoro wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Jamhuri,ambako ndiko tamasha la Serengeti Fiesta 2012   lilipofanyika

Related Posts:

  • Rais wa Burundi amepinduliwa    Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza Meja Jenerali wa Burundi Godefroid Niyombire alisema siku ya Jumatano kuwa alikuwa anafanya kazi na makundi ya vyama vya jamii, viongozi wa dini na wanasiasa kuunda serika… Read More
  • Mash J ndani ya XXL, yamkutanisha na Fid q Msh J   Mwanamuziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro, Mash J anayetamba na ngoma yake ya Mperampera aliyoimba na Stamina, yupo mbioni kufanya kazi na Fid q. Akizungumza ndani ya XXL ya Clouds Fm, Mash J amesema… Read More
  • Ndugu wa Adebayor aomba msamaha   Ndugu na mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo kumshtumu katika mtandao wa facebook na watu wengine wa familia yake. Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba… Read More
  • Maharagande amkumbuka Bob Marley kwa mashairi yake   Ikiwa leo ni kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa mziki wa Regge Duniani, Muweka nia ya kugombea ubunge jimbo la Morogoro mjini kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Mbarala Maharagande, amepostmoja ya mashairi ya nyi… Read More
  • New Audio: Chege Chigunda- Mwananyamala  Baada ya kimya cha muda kwa kufanya kazi za kundi zaidi,hatimaye Mkata Mkaa Chege Chigunda mtoto wa mama Saidi ameachia hii mpya inaitwa Mwanyamala. Unadhani kazungumzia nini humu?? Download hapo chini sasa … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE