February 06, 2013


CHRISS    WAMARYA
                                                              

    Msanii    wa  muziki  wa    kizazi   kipya   toka    Morogoro   Chriss   wamarya ,  amesema  sasa  anashawishika   kuachia   wimbo    wake   mpya   alioufanya   katika  studio   ya   AM  Record. Akiandika  katika  ukurasa  wake  wa  facebook  na  baadaye  kuzungumza  na  blog  hii  Chriss   amesema  baada  ya  kuwa  kiya  kwa  muda  sasa  ameona  ni  vizuri  kuuanza  mwaka na  wimbo  wake mpya.  Chriss  ambaye  alitamba  na  nyimbo  zake  kama  Sinyoritha,  Km sita, Tutoke  nk  amewaomba wadau  wa  mziki    waweze kumsapot  katika  hilo

'' mambo vp friends nashawishika kuachia wimbo wangu unaoitwa rudi ambao umefanyika studio za am recods ivyo naomba support zenu wadau wa blog redio na vyombo vyote vya habari kama mulivyo support kilomita 6 tutoke na zinginezo''.  Amwsema  Chriss

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE