April 25, 2013

Mfalme  na wanae

      Siku   ya  jana  tarehe 24/4  mfalme  wa  Rhyme  Tanzania  Mfalme  Sele,  aliadhimisha  umri wake  wa  kuzaliwa. Hakuipitisha  bure,  tazama  alichokisema  na  kukupa  zawadi  wewe  mdau  wake.

    Jana nimetimiza miaka 37, asanteni kwa kunitakia kheri/furaha na dua zenu njema kwangu kwa Mungu katika siku yangu ya kuzaliwa. Katika ujio huu wa umri na siku zangu za kuishi zinapungua! Kama tunasherekea siku ya kuzaliwa tukumbuke kuna siku ya kufa vilevile, siku ya kuzaliwa iwe changamoto kwetu sote kwa kutathimini sababu za uwepo wetu duniani na kusudio la muumba wetu kutuumba wanadamu, na si wanyama, ndege, wadudu au samaki. Lakini tujifunze kuwa maisha(kuishi) ndio zawadi kubwa pekee aliyotupa Muumba wetu. Tuyatunze maisha yetu na ya wengine kwa kutenda HAKI bila kikomo. HAKUNA ALIYEMKAMILIFU CHINI YA JUA, DUNIA AIHITAJI WAKAMILIFU INAHITAJI WATU WA KWELI. Zawadi yangu kwenu katika ujio huu wa umri ni huo wimbo DINI TUMELETEWA ..... MUNGU AWABARIKI SANA.

Related Posts:

  • Serikali yaanza kusambaza Katiba Inayopendekezwa    Serikali imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu. Wa… Read More
  • Hayatou ataka kuendelea kuongoza Caf    Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika, Caf, Issa Hayatou anataka kubadili sheria za chombo hicho kuhusu umri wa mwisho katika uongozi, ili aweze kuendelea kugombea. Caf inataka maafisa wanapotimiza mi… Read More
  • Magari yasio na dereva kuendeshwa UKMabadiliko yatakayofanyiwa barabara kuu pamoja na majaribio yatasaidia katika kuyaendesha magari yasio na madereva katika barabara za Uingereza,ripoti ya idara ya uchukuzi imebaini. Serikali inataka Uingereza kutambulika ulim… Read More
  • Kiongozi wa Malaysia miaka 5 Jela kwa ulawiti Mahakama ya Malaysia imekataa kubadilisha uamuzi dhidi ya kiongozi wa Upinzani Anwar Ibrahim    Mahakama ya juu zaidi nchini Malaysia imekataa kubadilisha uamuzi kuhusu kesi ya kulawiti inayomkabili k… Read More
  • UN kutoisaidia Kongo DR kupambana na FDLR    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimesitisha uungaji mkono wake kwa vikosi vya Kongo kwa ajili ya kuendesha oparesheni dhidi ya waasi wa Kihutu wa Rwanda… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE