April 25, 2013

Mfalme  na wanae

      Siku   ya  jana  tarehe 24/4  mfalme  wa  Rhyme  Tanzania  Mfalme  Sele,  aliadhimisha  umri wake  wa  kuzaliwa. Hakuipitisha  bure,  tazama  alichokisema  na  kukupa  zawadi  wewe  mdau  wake.

    Jana nimetimiza miaka 37, asanteni kwa kunitakia kheri/furaha na dua zenu njema kwangu kwa Mungu katika siku yangu ya kuzaliwa. Katika ujio huu wa umri na siku zangu za kuishi zinapungua! Kama tunasherekea siku ya kuzaliwa tukumbuke kuna siku ya kufa vilevile, siku ya kuzaliwa iwe changamoto kwetu sote kwa kutathimini sababu za uwepo wetu duniani na kusudio la muumba wetu kutuumba wanadamu, na si wanyama, ndege, wadudu au samaki. Lakini tujifunze kuwa maisha(kuishi) ndio zawadi kubwa pekee aliyotupa Muumba wetu. Tuyatunze maisha yetu na ya wengine kwa kutenda HAKI bila kikomo. HAKUNA ALIYEMKAMILIFU CHINI YA JUA, DUNIA AIHITAJI WAKAMILIFU INAHITAJI WATU WA KWELI. Zawadi yangu kwenu katika ujio huu wa umri ni huo wimbo DINI TUMELETEWA ..... MUNGU AWABARIKI SANA.

Related Posts:

  • Mh. Zitto Kabwe amvisha pete mchumba wake Inasemekana kuwa, Mh. Zitto Kabwe alimvisha pete mpenzi wake huyu wikiendi hii. Congrats to him, nitarudi na full details later coz for now, this is all their is to the story. … Read More
  • Hadhi aliyopoteza Kitwanga imetokana na Bunge-Lema Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema amesema kitendo cha Rais Dkt. John Pombe Magufuli kumng'oa Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga kunatokana na Bunge kukosa … Read More
  • Alikiba amuombea kura Diamond Platnumz Alikiba alisema haya kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusisitiza kuwa yeye kusaini mkataba na kampuni ya 'Sony Music' jambo kubwa sana katik… Read More
  •  Kocha wa kilabu ya Manchester United Louis van Gaal hatimaye baada ya tetesi kuwa nyingi sasa rasmi amefutwa kazi kama kocha wa klabu ya Manchester United ,huku aliyekuwa mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho akita… Read More
  • Giggy Money: Nampenda Matonya kwa kuwa anahonga vizuri sana Mwanadada chakaramu mitandaoni na mwanamuziki Giggy Money, amesema anampenda sana mpenzi wake wa sasa ambae pia ni msanii wa Bongo flava Seif ‘Matonya’ Shaaban kwa kuwa ni muhongaji mzuri. Akizungumza kupitia k… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE