April 25, 2013

Mfalme  na wanae

      Siku   ya  jana  tarehe 24/4  mfalme  wa  Rhyme  Tanzania  Mfalme  Sele,  aliadhimisha  umri wake  wa  kuzaliwa. Hakuipitisha  bure,  tazama  alichokisema  na  kukupa  zawadi  wewe  mdau  wake.

    Jana nimetimiza miaka 37, asanteni kwa kunitakia kheri/furaha na dua zenu njema kwangu kwa Mungu katika siku yangu ya kuzaliwa. Katika ujio huu wa umri na siku zangu za kuishi zinapungua! Kama tunasherekea siku ya kuzaliwa tukumbuke kuna siku ya kufa vilevile, siku ya kuzaliwa iwe changamoto kwetu sote kwa kutathimini sababu za uwepo wetu duniani na kusudio la muumba wetu kutuumba wanadamu, na si wanyama, ndege, wadudu au samaki. Lakini tujifunze kuwa maisha(kuishi) ndio zawadi kubwa pekee aliyotupa Muumba wetu. Tuyatunze maisha yetu na ya wengine kwa kutenda HAKI bila kikomo. HAKUNA ALIYEMKAMILIFU CHINI YA JUA, DUNIA AIHITAJI WAKAMILIFU INAHITAJI WATU WA KWELI. Zawadi yangu kwenu katika ujio huu wa umri ni huo wimbo DINI TUMELETEWA ..... MUNGU AWABARIKI SANA.

Related Posts:

  • New Audio| Ben Poul & Msechu - Ntota ya Sambo   Dar es Salaam, Tanzania – February 3, 2016 - Tanzania's Best Vocalists of all time Ben Pol & Peter Msechu have teamed up to release an amazing mash-up collaboration ‘NYOTA YA SAMBOIRA’ as a pre-Valentine's … Read More
  • Mwanafunzi Mtanzania avuliwa nguo India   Mwanafunzi Mtanzania alishambuliwa na kuvuliwa nguo na umati uliokuwa na hamaki katika jiji la Bangalore, kusini mwa India. Alishambuliwa baada ya gari la mwanafunzi kutoka Sudan kumgonga na kumuua mwanamke mmoja … Read More
  • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Februari 4 Habari za leo alhamisi ya 04 febru 2016. Tunakupa fursa ya kupitia kilichoandikwa katika magazeti yetu ya Tanzania kama ifuatavyo   … Read More
  • Video| Dayna Nyange - Angejua   Official Video ya msanii DAYNA NYANGE. Wimbo unaitwa ANGEJUA, audio imetengenezwa FREE NATION Producer ni MR T-TOUCH. Video imefanywa na KWETU STUDIOS, Directed by Msafiri Shabani. Itazame hapa chini kisha toa… Read More
  • Ndege yatoboka shimo la kushangaza Ndege hiyo ililazimika kutua muda mfupi baada ya kupaa Ndege ya kubeba abiria imetua kwa dharura katika uwanja wa ndege mjini Mogadishu, Somalia ikiwa na shimo kubwa kwenye kiunzi chake. Shimo hilo kwenye ndege hiyo lilitobo… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE