May 18, 2013

401187_10150536949328749_793704636_n 
  Kufuatia  taarifa  ya kujitoa  katika  show  ya  Lady  Jay  Dee,  Mwanamuziki  Khareed  Mohammed  TID  aamuwa  kuweka  wai  juu  ya  hilo.  Kupitia  katika  ukurasa  wake  wa  Facebook mwanamuziki  TID  Almaarufu  kama  Top  In  Dar,  ameandika  hivi
   
  three reason why i cant do lady JIDE SHOW .............No.1 i have better contract pays me better than.No.2 i really dont want to be between anybodys conflict ya kwangu yananishinda naona nieupushe shari...No.3 nataka kuoa muda wangu ndo huu ...............kama nimekukosea captein na madame kazeni but i have been thru same shit.........

Ameandika  TID  Jana
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE