August 13, 2013

 
Linex
   Mwanamuziki toka mkoani Kigoma, makli wa sauti na mashairi  Linex Sunday, ameweka wazi  sababu iliyomfanya mpaka akakataa kuimba wimbo wa Salam zao wa Nay wa Mitego.  Kupitia A/C ya Facebook Linex am,efunguka

Wimbo mpya wa ney wa mitego salaam zao mi ndo nilitakiwa kufanya chouras but sikufanya coz mashairi yake yalikua mazito na yananidiss had mm so nikaona niiache ipite salaam zinipate kigoma all stars haijafa but wahusika kila mtu yuko busy na maambo yake tunahitaji time kufanya somthn big tena#teamkimugina
5Like · ·

Related Posts:

  • MAJAMBAZI YANAYODAIWA KUMUUA SISTA KWA RISASI, UBUNGO YAKAMATWA   Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli, Zaidi ya watuhumiwa hao pia… Read More
  • BEI YA VYAKULA YAPANDA DAR   BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wamelalamikia bei kubwa za vyakula katika kipindi hiki cha Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwenye badhi ya masoko jijini humo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, w… Read More
  • SIKILIZA MAGAZETI YA LEO HII 3 JULY HAPA Kupitia hapa unaweza kuskia  magazeti yakisomwa Redioni  leo July 03 nakuletea kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti na hii ni baada ya kupitia kurasa za mbele na nyum… Read More
  •   Aliyekuwa kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.  … Read More
  • PITIA MAGAZETI YA LEO HAPA JAPO KWA UFUPI . Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE