August 13, 2013

 
Linex
   Mwanamuziki toka mkoani Kigoma, makli wa sauti na mashairi  Linex Sunday, ameweka wazi  sababu iliyomfanya mpaka akakataa kuimba wimbo wa Salam zao wa Nay wa Mitego.  Kupitia A/C ya Facebook Linex am,efunguka

Wimbo mpya wa ney wa mitego salaam zao mi ndo nilitakiwa kufanya chouras but sikufanya coz mashairi yake yalikua mazito na yananidiss had mm so nikaona niiache ipite salaam zinipate kigoma all stars haijafa but wahusika kila mtu yuko busy na maambo yake tunahitaji time kufanya somthn big tena#teamkimugina
5Like · ·

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE