August 12, 2013

Staa wa filamu za Kibongo Wema Sepetu amesheherekea sikukuu ya Eid El Fitri na wazazi wake Mariam Sepetu na Isaac Sepetu nyumbani kwao jijini Dar.
Wema alipost picha hiyo kwenye mtandao wa Instagram huku akisema kuwa amesheherekea sikukuu ya Eid El Fitri na wazazi wake, huku baadhi ya mashabiki wake wakimpongeza kwa kuweka picha ya baba yake hadharani kwani wengi walikuwa hawamfahamu kama wanavyomfahamu mama yake.
''Wema leo kamuweka hadharani baba yake, ukweli wengi tulikuwa hatumfahamu hongera sana'' alisema mmoja wa shabiki wake.

Related Posts:

  • Nay wa Mitego achukua maamuzi magumu kuhusu mtoto Nay wa Mitego na Mtoto wakeNay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa aliyekuwa  Mpenzi wake wa zamani Obasanjo...Japo Wahen… Read More
  • Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini UfaransaNdege ya shirika la ndege la Germanwings Ndege ya abiria inayomilikiwa na shirika la ndege la Germanwing Airbus A320 Imeanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa. Ndege hiyo ilikuwa imewabeba abiria 142 na wahudumu 6 ikito… Read More
  • Mwandishi wa habari ashtakiwaMwandishi mmoja wa habari mashuhuri ambaye pia ni mkereketwa wa haki za kibinadamu amefikishwa mahakamani nchini Angola kwa mada Mwandishi mmoja wa habari mashuhuri ambaye pia ni mkereketwa wa haki za kibinadamu amefikishwa m… Read More
  • England kuandaa kombe la dunia  Sepp Blatter Rais wa FIFA England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026 baada ya kujaribu bahati hiyo ilii iandae fainali hizo mwaka 2018 lakini ilijikut… Read More
  • Magazeti ya leo hii March 26 haya hapa Leo Alhamisi Tarehe 26 March 2015. Tunakupatia fursa ya kutembelea kurasa za magazeti ya leo hii kama tulivyoyapata … Read More

1 comment:

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE