August 12, 2013

Staa wa filamu za Kibongo Wema Sepetu amesheherekea sikukuu ya Eid El Fitri na wazazi wake Mariam Sepetu na Isaac Sepetu nyumbani kwao jijini Dar.
Wema alipost picha hiyo kwenye mtandao wa Instagram huku akisema kuwa amesheherekea sikukuu ya Eid El Fitri na wazazi wake, huku baadhi ya mashabiki wake wakimpongeza kwa kuweka picha ya baba yake hadharani kwani wengi walikuwa hawamfahamu kama wanavyomfahamu mama yake.
''Wema leo kamuweka hadharani baba yake, ukweli wengi tulikuwa hatumfahamu hongera sana'' alisema mmoja wa shabiki wake.

Related Posts:

1 comment:

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE