October 03, 2013



Hii imetokea huko Mkoani Dodoma ambao watoto walifungishwa ndoa, huku familia zao zikifurahi na kula pilau.
Unaweza usiamini, lakini kipindi cha Wanawake Live kilishuhudia LIVE kwa kuhudhuria na kufanya udadisi wa kina kwa familia, viongozi wa serikali na wanandoa  wenyewe wachanga.

Related Posts:

  • Video mpya ya Linah hii hapa, inaitwa Nia yangu    Mwanamuziki Lina Sanga kutoka nchini Tanzania, ametuletea video yake mpya inayoitwa Nia yangu.  Hapa Linah anakupa fursa ya kuitazama video hiyo.            … Read More
  • Vipindi vya watu wazima mchana marufuku   Mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya imechapisha mwongozo mpya wa vipindi vya radio na televisheni. Mwongozo huo unanuia kudhibiti nyakati za kupeperusha matangazo na vipindi vinavyolenga watu wazima na pia kuepusha… Read More
  • Serikali imesitisha zoezi la bomoabomoa isipokuwa ...   Serikali imesitisha zoezi la bomoabomoa katika maeneo mbalimbali isipokuwa katika eneo la bonde la mto msimbazi ambalo linaanzia katika vilima vya pugu hadi daraja la salender jijini Dar es Salaam ambalo hata hivy… Read More
  • Habari za magazetini leo hii January 8 2016Leo Ijumaa January 8, 2016 ni siku ya kihistoria kwa Tanzania kufuatia mshambuliaji wa timu ya Taifa Mbwana Ally Samatta kutw taji la mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza katika vilabu vya ndani ya Bara la Afrika.… Read More
  • New Audio| I do - Caleedy ft Braitz Anaitwa Caleedy, ni mwanamuziki chipukizi toka mkoani Morogoro, amekuletea wimbo wake unaoitwa I do. Caleedy katika wimbo huu amemshirikisha mkali wa wimbo wa Deka anayefahamika kwa jina la Braitz. wimbo umefanywa na Pro… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE