October 03, 2013

 Msanii mkongwe wa muziki wa bongofleva,Juma Nature akiwa amepozi na mwanadada Linah Sanga
 
Michuzi wa michuzijr.blogspot.com ,Mtangazaji wa Clouds Fm kupitia kipindi cha XXL B Dozen na Mzaramo wa Maneromango,Mr Misifa na mengineyo a.k.a Dullysykes wakiwa wametulia tuu ndani nje ya kiota walichofikia jijini Tanga  kwa  ajili  ya Serengeti Fiesta  2013  Itakayofanyika  kesho katika viwanja vya Mkwakwani

Tabasamu la kitanga  TOKA  KWA  MICHUZI  mmeliona wadau.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE