Wengi wanaopenda kusikia kutoka kwa shabiki huyu maarufu, walitaka kusikia atasema nini baada ya mechi ya Yanga na Simba October 20 2013 ambapo Yanga anayoishabikia Steven ilikua inaongoza kwa magoli matatu bila mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika lakini zikarudishwa na Simba zote kipindi cha pili, haya hapa chini ni maoni yake pia vilevile amemtaja mwigizaji wa movie anaempenda Tanzania na ana ujumbe wake
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment