October 24, 2013

 
 Anaitwa Jamal Emil Malinzi, anagombea nafasi ya Urais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania T F F. Ameonekana kuwa chaguo la wengi hasa kutokana na dhamira yake ya kweli katika soka la Tanzania

Jina: Jamal Emil Malinzi
 
Umri: 52
 
Elimu: -
1974-1977: Shule ya Sekondari Mwanza; Kidato 1 - 4
1978-1980: Shule ya Sekondari Ilboru; Kidato 5 - 6
1981-1985: Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Digrii Uhandisi
 
Ajira:-
1986 - 1993: Coopers and Lybrand
1993 - 1994: Tanzania Industrial Research and
                    Development Organization 
1993 - sasa : Mjasiriamali,
                    Mkurugenzi – Cargostars Limited
 
Michezo:-
1995-2001: Promota wa mchezo wa ngumi za kulipwa 
 
1999 - 2001: Seneta, Yanga

2001 - 2003: Mkurugenzi wa kuteuliwa, Yanga;
                          Kaimu Katibu Mtendaji, Yanga

2003 - 2005: Katibu Mkuu, Yanga

2009 - 2011:  Mwenyekiti, Kamati ya Mashindano ya 
                     Chama cha Mpira wa Miguu Pwani

2009 - 2012: Mjumbe, Baraza la Michezo Dar es Salaam

2011 - sasa:  Mjumbe, Kamati ya Utendaji ya Chama cha 
                    Mpira wa Miguu Wilaya ya Misenyi

2011 - sasa:  Mjumbe, Mkutano Mkuu wa Chama cha 
                    Mpira wa Miguu Kagera

2012 - sasa: Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu 
                   Mkoa wa Kagera

*Kampuni yetu ya DJB Sports Ltd iliwawezesha mabondia kadhaa akiwemo Rashid Matumla kusaini mkataba na promota maarufu duniani Don King.
 
**Nayo kampuni yetu ya Cargostars Ltd imekuwa mstari wa mbele kudhamini michezo mbalimbali. Kwa kipindi cha miaka saba, ilidhamini mbio za marathon za wabunge. Pia Cargostars ina rekodi ya kudhamini michezo mingine ikiwemo mpira wa miguu, ngumi, tennis na golf.
Wasifu wake :
 mpe kura yako kwa maendeleo ya kweli  ya soka letu.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE