February 14, 2014

  Ni wimbo mpya kabisa toka kwa marehemu Albert Mangwea. Moja  ya kazi alizowahi kuzifanya  na hazijatoka ni pamoja na hii Brand new "ALMA" akiwa na Mirror, iliyotambulishwa leo hii na mama yake mzazi kupitia xxl
hakika mziki wake utaishi miaka na miaka..R.I.P

Related Posts:

  • Brand New Audio: Mapenzini - Barnaba   Mkali wa  mashahiri ya kubwmbeleza nchi Tanzania Barnaba Classic, ametuletea wimbo wake mpya kabisa unaitwa Mapenzini. … Read More
  • Shilole afunguka kuhusu ujauzito   Msanii filamu na muziki wa bongo fleva, Shilole amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hana ujauzito wowote bali ameridhika na maisha jambo ambalo limefanya aongezeke mwili na kunenepa licha ya watu kuwa na hisia ku… Read More
  • Mwamuzi wa Chirwa aondolewa Ligi Kuu Mwamuzi Ahmada Simba akimuonesha kadi nyekundu mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting. Kamati ya Bodi ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi za Tanzania (Kamati ya Saa 72), imemwondoa… Read More
  • Lissu, Masha wanunua kesi ya kupinga uchaguzi TLS   Baadhi ya wagombea wa nafasi ya  urais kupitia kwa chama cha wanasheria wa Tanganyika TLS wanatarajia kuwasilisha maombi ya kujumuishwa kama wadaiwa katika kesi ya kupinga kufanyika kwa uchaguzi wao… Read More
  • Donald Tusk azua mgawanyiko Poland   Mgawanyiko mpya umetokea ndani ya Umoja wa Ulaya kuhusu kuchaguliwa tena kwa Donald Tusk kuwa Rais wa wa Baraza la Mawaziri. Kukataliwa kwa Tusk na Poland nchi alikotoka hbakujaungwa mkono na nchi wanachama wa Um… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE