UTANGULIZI
Mheshimiwa
Mwenyekiti,
Sura
ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania (‘Rasimu’) ndizo msingi ambao Rasimu yote imejengwa juu yao. Wakati
Sura ya Kwanza inagusa suala la muundo wa Muungano katika ibara moja tu kati ya
ibara tisa, Sura yote ya Sita inahusu ‘Muundo wa Jamhuri ya Muungano.’ Suala la
Muungano na hasa Muundo wake limetawala mjadala wa kisiasa na kikatiba wa
Tanzania kwa zaidi ya miaka thelathini. Ndio maana katika waraka wake wa siri
kwa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (‘CCM’), Idara ya Siasa na Uhusiano
wa Kimataifa ya chama hicho imetamka kwamba “muundo
wa Muungano ndiyo moyo wa Rasimu na ndiyo unaoamua ibara nyingine zikae vipi.”
Suala
hili pia limetawala mchakato wa Katiba Mpya tangu ulipoanza miaka mitatu
iliyopita. Kama alivyosema Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Joseph
Sinde Warioba wakati wa kuwasilisha Ripoti ya Tume yake kwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano na Rais wa Zanzibar tarehe 30 Disemba, 2013: “Moja ya mambo ambayo yamejadiliwa sana na kwa hisia kali tangu Rasimu
ya awali ilipotolewa ... ni Muungano wa Tanzania. Jambo kubwa limekuwa juu ya
muundo wa Muungano.”[1]
[38] Aya ya (vii)(a)
[39] Aya ya (vii)(b)
[40] Aya ya (vii)(b)
[41] Tangazo la Serikali Na. 245 la
tarehe 1 Mei, 1964.
[42] Kifungu cha 3(1)
[43] Kifungu cha 6(1)
[44] Kifungu cha 10
[45] Tangazo la Serikali Na. 246
la tarehe 1 Mei, 1964.
[46] Kifungu cha 2
[47] Ibara ya 98(1)(a) ikisomwa pamoja na Nyongeza ya Pili, Orodha ya
Kwanza.
[48] Ibara ya 98(1)(b) ikisomwa pamoja na Nyongeza ya Pili, Orodha ya
Pili.
[49] Sheria Na. 18 ya mwaka 1965.
[50] Sheria Na. 43 ya mwaka 1965
[53] Ibara ya 3(2)
[54] Ibara ya 2(1) ya Katiba ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Toleo la 1977.
[55] Ibara ya 1
[56] Sheria ya Marekebisho ya Tano
ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Na. 15 ya 1984.
[57] Ibara ya 1. Mabadiliko hayo pia yalilazimisha mabadiliko katika
Katiba Mpya ya Zanzibar iliyotungwa mwaka huo ambapo ibara yake ya 1 ilitamka kwamba
‘Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano.’
[59] Ibara ya 2(1)
[60] Sheria Na. 15 ya 1971. Sheria
hiyo ilianza kutumika tarehe 7 Mei, 1971.
[61] Ibid., kifungu cha 3
[62] Angalia picha za ujumbe wa Zanzibar siku ya Zanzibar kukubaliwa
rasmi kuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa ulioongozwa na Waziri Mkuu Mohamed
Shamte Hamadi na Waziri wa Mambo ya Nje Sheikh Ali Muhsin Barwani na Balozi wa
kwanza wa Zanzibar Umoja wa Mataifa Maalim Hilal M
[63] Ibara ya 87 ya Katiba ya
Zanzibar, 1984.
[64] Ibara ya 7(1) na (2) ya Katiba
Mpya ya Kenya, 2010.
[65] Ibara ya 39(3) ya Katiba ya
Jamhuri ya Ghana, 1992.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment