April 12, 2014

UTANGULIZI
Mheshimiwa Mwenyekiti,

Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (‘Rasimu’) ndizo msingi ambao Rasimu yote imejengwa juu yao. Wakati Sura ya Kwanza inagusa suala la muundo wa Muungano katika ibara moja tu kati ya ibara tisa, Sura yote ya Sita inahusu ‘Muundo wa Jamhuri ya Muungano.’ Suala la Muungano na hasa Muundo wake limetawala mjadala wa kisiasa na kikatiba wa Tanzania kwa zaidi ya miaka thelathini. Ndio maana katika waraka wake wa siri kwa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (‘CCM’), Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya chama hicho imetamka kwamba “muundo wa Muungano ndiyo moyo wa Rasimu na ndiyo unaoamua ibara nyingine zikae vipi.”

Suala hili pia limetawala mchakato wa Katiba Mpya tangu ulipoanza miaka mitatu iliyopita. Kama alivyosema Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Joseph Sinde Warioba wakati wa kuwasilisha Ripoti ya Tume yake kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano na Rais wa Zanzibar tarehe 30 Disemba, 2013: “Moja ya mambo ambayo yamejadiliwa sana na kwa hisia kali tangu Rasimu ya awali ilipotolewa ... ni Muungano wa Tanzania. Jambo kubwa limekuwa juu ya muundo wa Muungano.”[1]
 
[38] Aya ya (vii)(a)
[39] Aya ya (vii)(b)
[40] Aya ya (vii)(b)
[41] Tangazo la Serikali Na. 245 la tarehe 1 Mei, 1964.
[42] Kifungu cha 3(1)
[43] Kifungu cha 6(1)
[44] Kifungu cha 10
[45] Tangazo la Serikali Na. 246 la tarehe 1 Mei, 1964.
[46] Kifungu cha 2
[47] Ibara ya 98(1)(a) ikisomwa pamoja na Nyongeza ya Pili, Orodha ya Kwanza.
[48] Ibara ya 98(1)(b) ikisomwa pamoja na Nyongeza ya Pili, Orodha ya Pili.
[49] Sheria Na. 18 ya mwaka 1965.
[50] Sheria Na. 43 ya mwaka 1965
[51] Ibara yaDisemba, 2013: “Moja ya mambo ambayo yamejadiliwa sana na kwa hisia kali tangu Rasimu ya awali ilipotolewa ... ni Muungano wa Tanzania. Jambo kubwa limekuwa juu ya muundo wa Muungano.”[1]
[53] Ibara ya 3(2)
[54] Ibara ya 2(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Toleo la 1977.
[55] Ibara ya 1
[56] Sheria ya Marekebisho ya Tano ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Na. 15 ya 1984.
[57] Ibara ya 1. Mabadiliko hayo pia yalilazimisha mabadiliko katika Katiba Mpya ya Zanzibar iliyotungwa mwaka huo ambapo ibara yake ya 1 ilitamka kwamba ‘Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano.’
[59] Ibara ya 2(1)
[60] Sheria Na. 15 ya 1971. Sheria hiyo ilianza kutumika tarehe 7 Mei, 1971.
[61] Ibid., kifungu cha 3
[62] Angalia picha za ujumbe wa Zanzibar siku ya Zanzibar kukubaliwa rasmi kuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa ulioongozwa na Waziri Mkuu Mohamed Shamte Hamadi na Waziri wa Mambo ya Nje Sheikh Ali Muhsin Barwani na Balozi wa kwanza wa Zanzibar Umoja wa Mataifa Maalim Hilal M
[63] Ibara ya 87 ya Katiba ya Zanzibar, 1984.
[64] Ibara ya 7(1) na (2) ya Katiba Mpya ya Kenya, 2010.
[65] Ibara ya 39(3) ya Katiba ya Jamhuri ya Ghana, 1992.
[66] Ibid., ibara ya 7(3), London, 1974
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/04/maoni-ya-wajumbe-walio-wachache-katika.html#sthash.iQHqrKkz.dpuf

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE