July 11, 2014

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe
  Serikali ya Tanzania imezitaka nchi za Afrika kuamka kwa kuanzisha jeshi maalumu litalohusika na utanzuaji wa mizozo inayoendelea kulikumba bara hilo na si kutegemea misaada ya kijeshi kutoka katika madola ya magharibi.
Wito huo ambao umetolewa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bwana Bernard Membe aliyekuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mbalimbali unafuatia kuongezeka kwa machafuko katika bara hilo huku kukiwa hakuna juhudi mahsusi za kutanzua hali hiyo. George Njogopa na ripoti zaidi.
Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: George Njogopa
Mhariri: Saumu Yusuf

Related Posts:

  • Membe akaribishwa CHADEMA Waziri wa zamani wa Mamboya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amekaribishwa kujiunga na Chama Cga Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ikiwa ni siku chache tangu atoe maoni yake akiikosoa serikali ya Rais Joh… Read More
  • Mamia kutoka Ethiopia kurejeshwa makwao Maafisa nchini  wametishia kuwarejesha makwao mamia ya wahamiaji kutoka Ethiopia ambao wameingia nchini hapa kinyume na sheria wakati wakitafuta kwenda Afrika kusini. Tanzania imekuwa  ni kituo muhimu kwa wah… Read More
  • “Msishike mimba sasa”, mataifa yashauri wanawakeLuiza alizaliwa jimbo la Pernambuco, kaskazini mwa Brazil mwezi Oktoba. Ukubwa mzingo wa kichwa chake ulikuwa sentimeta 29 pekee Mlipuko wa virusi vinavyoaminika kusababisha watoto kuzaliwa wakiwa na vichwa vidogo kuliko kawa… Read More
  • Papa Francis awaomba radhi Waprotestanti                            Papa Francis Katika hatua ya kujumuisha umoja wa kikristo, Papa Francis amewaomba radhi waumini wa Kiprotestanti kutokana na un… Read More
  • Magazeti ya leo yameandika hivi Samahani kwa kuchelewa kuweka magazeti leo hii. Hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu. … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE