July 11, 2014

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe
  Serikali ya Tanzania imezitaka nchi za Afrika kuamka kwa kuanzisha jeshi maalumu litalohusika na utanzuaji wa mizozo inayoendelea kulikumba bara hilo na si kutegemea misaada ya kijeshi kutoka katika madola ya magharibi.
Wito huo ambao umetolewa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bwana Bernard Membe aliyekuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mbalimbali unafuatia kuongezeka kwa machafuko katika bara hilo huku kukiwa hakuna juhudi mahsusi za kutanzua hali hiyo. George Njogopa na ripoti zaidi.
Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: George Njogopa
Mhariri: Saumu Yusuf

Related Posts:

  • Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi   Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi  Rais wa Burundia Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi . Msemaji wa rais Willy Nyamitwe ameiambia shirika la habari la AF… Read More
  • Kutana na mashairi ya siachani nawe ya Baraka da Prince (verse1) Wakati nalainisha moyo kupenda sio kama ninakosea ipo sababu ya mimi kurejesha namba ambayo ilipotea hali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa ni sawa na mapenzi ukishapendwa unasahau hata kama ulishafanyiw… Read More
  • Mtu mmoja apigwa risasi    Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura. Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa aw… Read More
  • Watanzania watakiwa kudumisha amani   Viongozi wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani. Viongozi hao walisema hayo, Dar es Salaam jana katika Mkutano kuhusu Amani na Utulivu wa T… Read More
  • Sterling apata mtetezi   Nyota wa Liverpool Raheem Sterling ametetewa kwa kuwa na hamu kujiunga na vilabu vikubwa. Mshambuliaji huyo wa Liverpool huenda asilaumiwe kwa kuonyesha hamu ya kung'aa zaidi na kutaka kushinda vikombe. Hii ni kw… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE