July 02, 2014

Na RFI

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somalia.
      Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somalia.
REUTERS/Feisal Omar
 
                                         
Kundi la wanamgambo wa Al-Shabab nchini Somalia limekiri kuhusika na mfululizo wa mashambilizi ya mabomu kwenye mji mkuu Mogadishu na kuonya kuwa litaendelea na mashambulizi haya hata wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE