Aliyekuwa
kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu
bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex,
Chamazi, Dar es Salaam.
Official Video :P-Square - Away
Kundi la P-Square kutoka Nigeria, baada kufanya vizuri na wimbo wa “Bank Alert”, wameachia video mpya ya wimbo unaitwa “Away”.
…Read More
Alberto Msando Adai Wapo Waliochukia Yeye Kumtetea Wema
Mwanasheria wa #WemaSepetu, #AlbertMsando amefunguka kwa kudai kuwa kuna watu hawakupenda yeye kumsaidia kisheria muigizaji huyo wa filamu ambaye hivi karibuni alishikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za …Read More
Wema Sepetu azungumza kwa mara ya kwanza tangu atoke rumande
Mwana dada kutoka katika jumba la Bongo Move Wema Sepetu ametoa shukrani kwa watu wote waliokuwa naye bega kwa bega tangu ashikiliwe rumande kufuatia kutajwa kwenye orodha ya kwanza ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es S…Read More
Jaji Chande Apewa Kazi Umoja wa Mataifa..!!
Jaji mkuu mstaafu Othman Chande ameteuliwa kuongoza jopo la wataalamu watakaochunguza mazingira yaliyosababisha ajali ya ndege iliyomuua aliyekuwa katibu mkuu wa umoja huo, Dag Hammarskjold.
Uteuzi huo wa jaji mkuu …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment