Aliyekuwa
kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu
bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex,
Chamazi, Dar es Salaam.
Kurasa za Magazetini leo hii Ijumaa ya 09 December 2016
Habari za leo mpenzi msomaji wa ubalozini.blogspot.com. Karibu katika kurasa za magazetini leo hii ikiwa ni Ijumaa ya 09 December 2016 tukiwa katika siku ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika
…Read More
Mohammed Dewji ashinda tuzo ya mjasiriamali bora Afrika 2016
Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Mohammed Dewji ametunukiwa tuzo ya Mjasiriamali Bora kwa mwaka 2016 wa Afrika.
Dewji ametajwa kuwa mshindi wa tuzo hiyo n…Read More
EXIM Bank yafanya mkutano wa kufunga mwaka 2016
Ikiwa zimebakia Siku kadhaa mwaka 2016 kumalizika na kuingia mwaka mpya wa 2017, Benki ya EXIM imefanya mkutano mkuu wa kufunga mwaka ambao umehusisha mameneja wa matawi ya benki hiyo nchini.
Katika mkutano huo, ki…Read More
Wizkid aombaRadhi Baada ya Kushauriwa Kupumzika Kufanya Show
Msanii wa Nigeria ambaye amekuwa akifanya vizuri kwa mwaka 2016 Wizkid, usiku wa December 8 kuamkia December 9 2016 ameingia kwenye headlines, baada ya kuamua kukubali ushauri wa daktari wake wa kupumzika na kusogeza mb…Read More
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment