Aliyekuwa
kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu
bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex,
Chamazi, Dar es Salaam.
Brand New Audio Song: Ngoma inogile- Maisha Mapya Sound Band
Band ya Maisha Mapya Sound Band ya hapa mkoani Morogoro, wametuletea wimbo wao mpya kabisa unaitwa Ngoma inogile. Wimbo umefanyika katika studio za Pure Records za hapahapa Morogoro chini ya Producer Dizzy Mchizy.
&nb…Read More
Happy Birthday 2 u Steve Mwita
Leo ikiwa ni Oct 14 ya mwaka 2016, Taifa likiwa linaazimisha kumbukumbu ya kifo cha Mwalim Nyerere, Wakazi wa Sumbawanga wameingia kwenye Historia ya Fiesta kwa mara ya kwanza, lakini pia leo hii ni kumbukumbu ya kuzal…Read More
Mke wa Rais Ampiga Mkwala Mzito Mumewe.....
Mke wa Rais, Aisha Buhari amemuonya mumewe kuwa hatomuunga mkono katika
uchaguzi ujao kama hatafanya mabadiliko katika Serikali yake.
Aisha Buhari amesema mumewe "hawafahamu" wengi wa maafisa wakuu aliowat…Read More
Mohammed Dewji Amwaga Sifa Hizi Kwa Diamond Platnumz
Miongoni mwa bilionea wa Afrika aliyekuwa Mbunge wa Singida na CEO wa
MeTLGroup, Mohammed Dewji, afunguka kuhusu Diamond platnumz.
Dewji amemwaga sifa kwa mwanamuziki Diamond Platnumz kuwa ni miongoni
…Read More
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment