August 16, 2014

 
DJ Fetty na B DOZE
Kwa mara ya kwanzawakazi wa Mjini Bukoba wameweza kulishuhudia tamasha kubwa la Burudani Tanzania FIESTA ambala limeanzishwa zaidi ya miaka 10 sasa
 
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Bukoba.
 
Rachel akiendelea kutoa burudani.…
 
 Sebastian Maganga akihojiwa na clouds tv

 
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Bukoba.
 
Rachel akiendelea kutoa burudani.
 
 Wakazi wa BUKOBA  nis heeedddahhh
 
Umati mkubwa wa wana BUKOBA umelipokea kwa shangwe kubwa Tamasha hili ambapo kwa mara ya kwanza limetua katika Ardhi ya Bukoba
 
DJ Fetty akifanya yake.
 
Msanii wa muziki wa asili Saida Karoli akiwanyanyua mashabiki wake.
 
Staa wa Bongo Fleva, Jux akiimba wimbo wake mpya wa Nitasubiri.
 
Dogo anayekimbiza kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Young Killer akiwaimbisha mashabiki.
 
Msanii wa Super Nyota 2013, Kessy Style  akishambulia jukwaa.
 
Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.
 
Rais wa Manzese, Madee akikaporomosha mashairi ya ngoma yake mpya ya Ni Sheeda.
 
Mkali wa ngoma ya Muziki Gani, Nay wa Mitego akiwasikilizia mashabiki wanavyoitikia nyimbo zake.
 
Staa wa Hip Hop, Stamina akifanya yake jukwaani.

  
STAMINA kabwela akipagawisha 
 
 
Msanii wa Bukoba, Shomile naye alipata bahati ya kuamshaamsha burudani.
 
Jackson Mmbando akiwa katika pozi na Madee (kushoto).

(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL, BUKOBA)

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE