August 26, 2014

Mh: Lowasa MB. 
  Leo kama umezaliwa siku kama leo, basi umebahatika kuzaliwa na Waziri mkuu mstaafu, tumaini la wengi MB.Mh: Edward Ngoyai Lowasa  

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeZfu2Q-E08cTjUKP9eKVewC_BiaLtd5VkoEmOvkvqAxx2YWlmOhGXJwAKZNLgEsaB7oafa5Zk7rIky8XpShSacqt0KZooNuC3lgD1HVefHN0m0eEg11xLLPzDdkPXA4gLBZV8U2u2wMje/s1600/IMG_5654.jpg 

 Lowasa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli anayetokea katika familia ya wafugaji amezaliwa tarehe             26 /08/ 1953. Mpaka kufikia leo ametimiza umri wa miaka 61
  MACHAKU BLOG wadau wa ubalozini tunaungana na Famili hii katika kushherehekea siku hii muhimu kwa Mh.
   Mungu ampe maisha marefu kheri baraka  na ampe wepesi na mafanikio katika harakati zake.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE