Habari za leokatika Magazeti ya Tanzania ni hizi hapa
May 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania chanzo chetu cha ukusaji nwa magazeti haya kikiwa ni chumba cha habari cha TZA kupitia Millardayo.com kuanzia kwenye, Udaku…Read More
Leicester City yatwaa mabingwa wapya EPL
Klabu ya soka ya Leicester City wameshinda taji la ligi kuu England
katika historia inayovutia kwenye ligi hiyo. Suluhu ya 2-2 waliyoipata
Tottenham dhidi ya Chelsea siku ya jumatatu usiku ilisababisha …Read More
Utafiti wa saratani ya matiti wakamilika
Timu ya kimataifa ya wanasayansi
imekamilisha utafiti mkubwa zaidi kuwahi kutokea wa maumbile ya saratani
ya matiti, ambayo wanasema inawapa karibu picha kamili ya nini
husababisha ugonjwa huo.
Wanasayansi hao wanajar…Read More
Nyumba 400 Zabomolewa Jijini Dar es Salaam
Wakazi waliojenga eneo la Iloganzila Jimbo la Kibamba Dar es salaam leo
wamebomolewa nyumba zao ambazo ni zaidi ya nyumba 400, zoezi hilo
limekuja baada ya amri iliyotolewa na Mahakama Kuu juzi.
Taarifa zinasema …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment