August 14, 2014

10597309_946663722026663_1046571538_n 
Afande Sele, Prof J, kareem Omary na wakazi wengione wa Mjini hapo.Prof amemshika mtoto mdogho wa Mfalme Sele Ahsantesanaa
  Mmaia ya wakazi wa mjini Morogoro leo, wameungana na mfalme wa Rhymes Tanzania Afande Sele katika mazishi ya mzazi mwenzie mama  Tunda aliyefariki usiku wa jana.
  Katika mazishi hayo yaliyofanyika majira ya saa tisa alasiri Mwanamuziki Professor Jaya aliungana pia na swahiba wake wa miaka mingi katika kipindi hiki kigumu.
 O 
  Pia viongozi mbalimbali kama Diwani wa Mji mpya, wens, mwenyekiti wa Chama cha Cuf Abed Mlapa kolo, wasaniki mbalimbali mkoani hapa  waliungana na mwenzao kuweza kuusitili mwili wa marehemu.
U
  Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi Amin

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE