May 04, 2014


 Msanii mkongwe wa muziki Rehema Chalamila Ray C akimkabidhi Tuzo Nikki wa pili wa kundi la Weusi
Gnako, Nikki wa pili na Joh Makini wanaounda kundi la Weusi wakisema jambo baada ya kukabidhiwa Tuzo ya Kundi bora la Hip-Hop
 
  
 
Fid Q akiwa na Tuzo ya Msanii bora wa Hip Hop, usiku wa jana aliweza kutwaa Tuzo mbili ya Msanii bora wa Hip Hop na Mtunzi bora wa mwaka wa Hip Hop
 
Mwimbaji Bora wa Kike Taarab na Mtumbuizaji Bora wa Kike wa Muziki, Isha Ramadhan ‘Mashauzi’ akiwa na mojawapo ya tuzo zake.
 
 

 
Msanii wa filamu JB akimkabidhi Young Killer Tuzo ya Msanii bora chipukizi
 
Young Killer akitoa shukrani kwa mashabiki.

Mtayarishaji wa nyimbo Man Walter akiwashukuru mashabiki waliomwezesha kupata Tuzo ya Mwandaaji bora wa muziki wa kizazi kipya
 
 
 
 
Mwanadada Vanessa Mdee akiwa na tuzo yake ya Wimbo Bora wa RnB aliyokabidhiwa na Elizabeth Michael ‘Lulu’.
 
Mwimbaji Bora wa Kike Bendi, Luiza Mbutu (katikati) akiwa na tuzo yake aliyokabidhiwa na wasanii kutoka Kenya, Amani na Kelvin Wyre.
Mtunzi Bora wa Mwaka Bendi, Christian Bella akipokea tuzo yake kutoka kwa Issa Michuzi.
 
 
 
 
 Mashujaa wakipozi na mojawapo ya tuzo zao. Hall Of Fame Hassan Bitchuka KTMA2014  Nay Wa Mitego KTMA2014 
 Tuzo za KTMA  Weusi  Young Killer
Orodha ya Majina  ya Washindi wa Tuzo za KTMA 2014
Wimbo Bora wa mwaka
*Number One – Diamond
Wimbo bora wa Kiswahili – Band
*Ushamba Mzigo – Mashujaa
Wimbo Afro Pop
*Number One – Diamond
Wimbo bora wa Hip Hop
*Siri ya Mchezo – Fid Q
Wimbo bora wa R&B
*Closer – Vanessa Mdee
Wimbo bora wa kushirikisha/kushirikiana
*Muziki Gani – Nay wa Mitego f/ Diamond
Wimbo bora wa Zouk Rhumba
*Yahaya – Lady Jaydee
Mwimbaji Bora wa Kike – Kizazi Kipya
*Lady Jaydee
Mwimbaji Bora wa Kiume Kizazi Kipya
*Diamond Platnumz
Msanii Bora Hip Hop
*Fid Q
Msanii Bora Chipukizi
*Young Killer
Mtayarishaji Bora – Kizazi Kipya
 
*Man Water
Mtunzi Bora wa Mwaka – Kizazi Kipya
 
*Diamond Platnumz
Mtunzi Bora Hip Hop
*Fid Q
Mtumbuizaji Bora wa Kiume Kizazi Kipya
*Diamond
Video Bora ya Mwaka
*Number One – Diamond
Mtunzi Bora wa Mwaka Band
*Christian Bella
Bendi ya Mwaka
*Mashujaa Band
Kikundi Cha Mwaka – Kizazi Kipya
*Weusi
Kikundi bora cha mwaka – Taarab
*Jahazi Modern Taarab
Mwimbaji Bora wa Kike – Taaarab
*Isha Ramadhani
Mwimbaji Bora Kiume – Taarab
*Mzee Yusuf
Mwimbaji Bora Kiume – Bendi
*Jose Mara
Mtunzi Bora Taarab
*Mzee Yusuf
Rapper bora wa mwaka – Bendi
*Ferguson
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Taarab
*Enrico
Mwimbaji Bora wa Kike – Bendi
*Luiza Mbutu
Wimbo bora wa reggae
*Niwe Nawe – Dabo
Wimbo bora wa Ragga/Dancehall
*Nishai – Chibwa f/ Nuru
Wimbo bora wa Afrika Mashariki
*Tubonge – Jose Chameleone
Hall of fame – Institution
*Masoud Masoud
Hall of Fame – Individual
*Hassan ‘Stereo’ Bitchuka

Related Posts:

  • Tumekuwekea hapa magazeti ya leo Ijumaa January 22, 2016 Leo Ijumaa January 22, 2016 tunakuletea habari katika magazeti yetu kama yalivyo tufikia. Share na mwenzio … Read More
  • Watu 20 wauawa hotelini              Magari yaliyokuwa yameegeshwa nje ya hoteli hizo yaliharibiwa vibaya Waziri wa usalama wa ndani nchini Somalia amesema watu 20 walifariki baada y… Read More
  • Magufuli ampa kazi Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (Chancellor of the Univ… Read More
  • Uchaguzi Zanzibar,i ZEC wataja Tarehe Tume ya Uchaguzi ya zanzibar ZEC imetangaza tarehe rasmi ya kurudiwa kwa uchaguzi  mkuu visiwani humo kuwa ni  2o March 2016 Taarifa hiyo imetolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar imeb… Read More
  • Anti Sadaka awafunda wanawake           Mwanasaikolojia Anti Sadaka akitoa Mada kwenye Mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wa Mkoa wa Mwanza yanayoendesha na  Taasisi ya Manjano foundation yanaoen… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE