Daktari anayehusishwa na tukio la vifo vya watu 13 katika
kituo kilichokua kikitoa huduma ya kuzuia uzazi kwa njia ya upasuaji
jimboni Chattisgarh nchini India,amekamatwa.
Daktari huyo RK Gupta na msaidizi wake waliwafanyia upasuaji wanawake 83 katika kijiji cha Pendari.
Taarifa zinaeleza kuwa Daktari huyo aliwafanyia upasuaji wanawake 83 kwa saa tano, Serikali inasema Daktari mmoja anapaswa kutoa huduma ya upasuaji kwa Watu 35 kwa siku.
Wanawake wengine wawili walipoteza maisha baada ya kufanyiwa uapsuaji huo na Zaidi ya wanawake 90 wako hospitalini wengi wao wakiwa katika hali mbaya, baada ya upasuaji huo.
Daktari huyo RK Gupta na msaidizi wake waliwafanyia upasuaji wanawake 83 katika kijiji cha Pendari.
Taarifa zinaeleza kuwa Daktari huyo aliwafanyia upasuaji wanawake 83 kwa saa tano, Serikali inasema Daktari mmoja anapaswa kutoa huduma ya upasuaji kwa Watu 35 kwa siku.
Wanawake wengine wawili walipoteza maisha baada ya kufanyiwa uapsuaji huo na Zaidi ya wanawake 90 wako hospitalini wengi wao wakiwa katika hali mbaya, baada ya upasuaji huo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment