December 04, 2014

 
 Wikend iliyopita tasnia ya burudani nchini ilipata pigo kwa kuondokewa na wadau watatu wa tasnia hiyo kwa ajali mbili tofauti. Ajali iliyosababisha kifo cha Chidy Nyau akitokea Dodoma kuelekea Morogoro ambapo gari yake ilipata ajali na hatimaye Chidy Nyau kupoteza Maisha

  
Gari aliyopata ajali Chidy Nyau

  
Ajali iliyosababisha kifo cha kina Matei na Joshua ambayo Boss Ngasa amebahatika kupona
 KAULI YA BOSS NGASA:
Hivi ndivyo mwenyezi mungu alivyoniepusha na ajali mbaya sana iliyosababisha wenzangu wawili kupotesha maisha... kupona kwangu siyo kwa sababu mimi ni mwema sana ..bali ni mipango ya mungu...Hakika namshukuru sana mwenyezi mungu sana kwa kuniepusha na kifo.. Daima tutawakumbuka ndugu zetu waliopoteza maisha. R.I.P Matei Mmasi,Joshua Uguda,Chidy Nyau. sisi tuliwapenda lakini mwenyezi mungu kawapenda zaidi. Mungu awalaze mahali pema peponi Amina
 
 Miili ya marehemu ikiagwa
 
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE