Magari sita yakiwemo mawili yaliokuwa na picha ya Uhuru yalikamatwa,licha ya agizo la rais kuruhusu wamiliki wa matatu kuchora picha katika magari.
Uhuru alikuwa amesema kuwa hatua hiyo itawasaidia vijana kutumia vipaji vyao ili kuweza kujinufaisha kimaisha.
Uchoraji katika magari hayo na muziki ulipigwa marufuku mnamo mwaka 2003 na aliyekuwa waziri wa uchukuzi John Michuki.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment