Kila siku zaidi ujumbe billioni 30
wa mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa na
afisa mkuu wa mtandao huo Jan Koum.
Pia kuna watumiaji millioni 700 wanotumia mtandao huo mara kwa mara.Koum anasema kuwa shirika hilo linafurahia idadi kubwa ya wateja ilionao.
Lakini idadi hiyo ni kubwa mno na hivyobasi kuwa vigumu kuelewa.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment