January 08, 2015

 
Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 wa mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa na afisa mkuu wa mtandao huo Jan Koum.
Pia kuna watumiaji millioni 700 wanotumia mtandao huo mara kwa mara.
Koum anasema kuwa shirika hilo linafurahia idadi kubwa ya wateja ilionao.
Lakini idadi hiyo ni kubwa mno na hivyobasi kuwa vigumu kuelewa.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE