Habari zilizotufikia kutoka Mafinga Iringa ni kwamba watu zaidi ya arobaini wamefariki kufuatia basi la Majinja walilokuwa wanasafiria kutoka Mbeya kwenda Dar kugongana na Lori na hatimaye basi hilo kufunikwa na Kontena hilo. Taarifa zaidi tutawaletea
NDOTO MBAYA ZAFIKIA MWISHO: AMOS ASIMULIA MASAIBU YAKE
-
Kwa miaka mingi, maisha yangu, Amos, mwanakijiji wa makamo kutoka Kijiji
kidogo cha Sokoine, yalikosa amani. Sikuwa mgonjwa kimwili, lakini ndani ya
roh...
9 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment