March 11, 2015

Habari zilizotufikia kutoka Mafinga Iringa ni kwamba watu zaidi ya arobaini wamefariki kufuatia basi la Majinja  walilokuwa wanasafiria kutoka Mbeya kwenda Dar kugongana na Lori na hatimaye basi hilo kufunikwa na Kontena hilo. Taarifa zaidi tutawaletea

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE