Habari zilizotufikia kutoka Mafinga Iringa ni kwamba watu zaidi ya arobaini wamefariki kufuatia basi la Majinja walilokuwa wanasafiria kutoka Mbeya kwenda Dar kugongana na Lori na hatimaye basi hilo kufunikwa na Kontena hilo. Taarifa zaidi tutawaletea
WATANZANIA KUNUFAIKA ZAIDI NA FURSA ZA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI
-
-Ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza ushiriki wa Watanzania katika Sekta
ya Madini
Dar es Salaam, Julai 10, 2025
Tume ya Madini imejipanga kwa dhati ...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment