Wakati
Jumuiya ya Madereva Tanzania wakipanga kufanya mkutano wao kesho jijini
Dar es salaam kujadili hatma ya mgogoro kati yao na serikali, Chama cha
Wamiliki wa Mabasi Tanzania TABOA wasisitiza kuanza mgomo wa mabasi ya
abiria kesho kupinga nauli mpya zilizotangazwa na SUMATRA hivi karibuni
WAKILI KISABO AWASILISHA MADA KUHUSU MCHANGO WA THRDC KWA WAANDISHI WA
HABARI NCHINI
-
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeshiriki katika
kongamano la wadau wa habari nchini Tanzania lililoendeshwa na
MISA-Tanzania kat...
7 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment