Wakati
Jumuiya ya Madereva Tanzania wakipanga kufanya mkutano wao kesho jijini
Dar es salaam kujadili hatma ya mgogoro kati yao na serikali, Chama cha
Wamiliki wa Mabasi Tanzania TABOA wasisitiza kuanza mgomo wa mabasi ya
abiria kesho kupinga nauli mpya zilizotangazwa na SUMATRA hivi karibuni
ODDO MWISHO AENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA WILAYA YA TUNDURU
-
Mwenyekiti Wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa Oddo Mwisho akizungumza na
wananchi wa Kata ya Matemanga iliyopo Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma
Mwenyekiti Wa Ch...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment