April 28, 2015

 
Wakati Jumuiya ya Madereva Tanzania wakipanga kufanya mkutano wao kesho jijini Dar es salaam kujadili hatma ya mgogoro kati yao na serikali, Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania TABOA wasisitiza kuanza mgomo wa mabasi ya abiria kesho kupinga nauli mpya zilizotangazwa na SUMATRA hivi karibuni

Related Posts:

  • Magazetini Leo Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Septemba 4,2015 tumeingia kwenye chumba cha cha TZA kinachomiliikiwa na Millard Ayo na tayari tumeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baa… Read More
  • Liberia imefanikiwa kutokomeza Ebola-WHOImage copyrightGettyImage captionMtu aliyenusurika ebola Shirika la afya duniani WHO, limetangaza kwua taifa la Liberia, limefanikiwa kutokomeza Ugonjwa wa Ebola kwa mara ya pili. Mei mwaka huu shirika hilo lilikuwa limetoa t… Read More
  • Lowassa awasili Mpanda kwa Chopa Chopa iliyowabeba Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe, ikitua kwenye … Read More
  • Mashekh waliotekwa, waachiwa huruKatibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kuachiwa huru kwa Mashekhe waliotekwa nchini DRC. Kushoto ni Mkurug… Read More
  • Mgombea mwenza wa UKAWA Juma Haji Duni atikisa jimboni kwa Nape Wafuasi wa Ukawa wakishangilia.   Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji...  Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimiana na mfuasi wa Ukawa wakati alipowasili katika mkutan… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE