August 21, 2015

 
 Mfalme wa masauti staa Christian Bella amesema kuwa hivi sasa anafanya utambulisho mkubwa wa video ya wimbo 'Amerudi' na bendi yake ya Malaika kama zawadi kwa mashabiki wake katika onesho kubwa la muziki kesho jijini Dar es Salaam.
 Bella anayeendelea kushika chati kupitia kazi zake zikiwemo 'Nashindwa', 'Nakuhitaji', na 'Amerudi,' ameongea na eNewz kuwa hivi sasa yupo mbioni kufanya kazi mpya iitwayo 'Namgharamia' na staa wa muziki wa Bongofleva.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE