August 21, 2015

 
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akimkabidhi, Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassam  
 
 Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi akizungumza.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangazwa rasmi na Tume ya Uchaguzi kuwania nafasi hiyo, leo Agosti 21, 2015 kwenye Ofisi za Tume hiyo, Jijini Dar es salaam. Pembeni yake ni Mgombea Mweza wake, Dkt. Juma Haji Duni 

na
Dk.Magufuli akiongea na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kurejesha fomu katika ofisi za Taifa ya Tume ya Uchaguzi NEC, mapema leo 

DSC_0162



0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE