November 22, 2015

November 22 michuano ya mataifa ya Afrika Mashariki na kati maarufu kama CECAFA iliendelea kwa michezo miwili kupigwa, timu ya taifa ya Tanzania bara ambapo inafahamika kama Kilimanjaro Stars ilishuka dimbani kucheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Somalia.
Taifa Stars forward John Bocco (right) is guarded by a South Africa's Under-23 team defender during a friendly match at Eldorado ground. Stars lost 2-0. Kili Stars will be formed by majority of the national team squad. photo | courtesy of salehjembe blog
Stars ambao wapo chini ya kocha King Kibadeni walifanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 4-0, magoli ya Kilimanjaro Stars yalifungwa na nahodha wao John Bocco kwa mkwaju wa penati dakika ya 12, Elias Maguli dakika ya 17 na 54 na dakika moja baadae John Bocco akapachika tena goli la nne.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE