November 02, 2015


 seneta balali wa tigo naye alikuwepo


 Waluguru Original wakifanya yao



 DJ JD akiwa tayari kabisa kufanya makamuzi usiku huwo

 Mkurugenzi wa Samaki akijiandaa kukata keki


 Mtangazaji wa Planet Fm Zimbi akiwa na mdau wake kushoto


 Mkurugenzi wa Samaki Spot Farida Matlou akimlisha keki meneja wake Godfrey Mlingwa usiku wa kuamkia leo katika Party ya kuhadimisha miaka miwili ya Samaki Spot
Band ya Waluguru wakiongozwa na Killer Boy wakitoa burudani usiku wakuamia leo

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE