Kwa mara ya kwanza katika historia ya uhifadhi nchini majangili wa tembo wametungua chopa ya askari wa doria iliyokuwa ikimilikiwa na mwekezaji wa kitalu cha mwiba holdings katika pori la tengefu la maswa mkoani wilayani meatu mkoani simiyu na kusababisha kifo cha rubani wa chopa hiyo huku rubani mwenzie akijeruhiwa vibaya mguuni Chopa hiyo inasemekana ilitunguliwa majira ya saa kumi na mbili jioni jana na Majaangili hao ambao wanaosadikika kutumia silaha nzito za kivita walifanikisha kutekeleza uhalifu huo walipo gundua kuwa chopa hiyo ilikuwa ikiwafuatilia baada ya kubaini mahali walipo na uhalifu waliokuwa wakiutekeleza katika pori hilo,ambapo inaripotiwa kwamba pamoja na kutungua chopa hiyo walisha fanikiwa kuuwa tembo watatu
ODDO MWISHO AENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA WILAYA YA TUNDURU
-
Mwenyekiti Wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa Oddo Mwisho akizungumza na
wananchi wa Kata ya Matemanga iliyopo Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma
Mwenyekiti Wa Ch...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment