Kwa mara ya kwanza katika historia ya uhifadhi nchini majangili wa tembo wametungua chopa ya askari wa doria iliyokuwa ikimilikiwa na mwekezaji wa kitalu cha mwiba holdings katika pori la tengefu la maswa mkoani wilayani meatu mkoani simiyu na kusababisha kifo cha rubani wa chopa hiyo huku rubani mwenzie akijeruhiwa vibaya mguuni Chopa hiyo inasemekana ilitunguliwa majira ya saa kumi na mbili jioni jana na Majaangili hao ambao wanaosadikika kutumia silaha nzito za kivita walifanikisha kutekeleza uhalifu huo walipo gundua kuwa chopa hiyo ilikuwa ikiwafuatilia baada ya kubaini mahali walipo na uhalifu waliokuwa wakiutekeleza katika pori hilo,ambapo inaripotiwa kwamba pamoja na kutungua chopa hiyo walisha fanikiwa kuuwa tembo watatu
January 31, 2016
1:53 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Official Music video: Becka Title - Sina Ubaya Kutoka katika studio za Kwanza Records za Forest Mkoani Morogoro, Becka Title amedondosha wimbo wake mpya kabisa unaitwa Sina Ubaya. Audio ya wimbo huu imefanywa na Producer Vennt Skill chini ya Mokomoko Movement. … Read More
About Life Part two na Peace the presdent Ndugu mdau wa ubalozini.blogspot.com, Karibu tena katika makala hii muhimu inayozungumzia juu ya Maisha tunayoishi kila siku. Kuna mwengi yanayo tuzunguka, yapo tunayoyajua na yapo tusiyoyajua, lakini yote ni mkusanyiko … Read More
Video:Malkia wa nguvu Morogoro, watakiwa kuchangamkia Fursa zilizopo na zijazo Kina mama wa Mkoa wa Morogoro wametakiwa kuchangamkia Fursa za kibiashara zilizopo mkoani hapo. Hayo yamezungumzwa na katibu tawala mkoa wa Morogoro Cloford Tandari ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi kat… Read More
Video: Long As I Live - Toni Braxton Malkia wa muziki wa Pop na R n B Ulimwenguni Toni Braxton, ameachia Video ya wimbo wake wa Long as Live. Video ipo hapa chini, itazame sasa &nbs… Read More
Kamanda msangi, aonya wanaotaka kuandamana April 26 RPC Ahmed Msangi Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewaonya watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaotumia vibaya mitandao hiyo kwa kufanya uhalifu ikiwemo kuhamasisha maandamano yasiyo halali kuwa kitendo hicho ni… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment