March 22, 2016

                             

Kwenye ukurasa wake wa facebook Zitto Kabwe ameandika ujumbe kutoa taarifa hiyo, na kusema kuwa pia ameamua kufanya hivyo ili kupisha uchunguzi kufanyika, na pia memuandikia barua spika wa bunge ili uchunguzi huo ufanyike kwa haraka.

"Kuna tuhuma za rushwa dhidi ya Kamati mbalimbali za Bunge ikiwemo kamati ninayohudumu. Nimemwandikia Spika Kuomba Uchunguzi juu Ya tuhuma hizo na kwamba achukue hatua kali dhidi ya yeyote atakayekutwa kuhusika na vitendo vya rushwa, nimejiuzulu Ujumbe wa Kamati ili Kutoa Nafasi Ya Uchunguzi Husika", alioandika Zitto Kabwe.

Mapema mwaka huu wabunge waliteuliwa kuhudumu kwenye kamati mbali mbali, na Zitto Kabwe alipangwa kwenye kamati ya Huduma na maendeleo ya jamii, ampapo awali alikuwa akihudumu kwenye kamati ya hesabu za serikali. (PAC)

                     

Related Posts:

  • FREEMASON This is the Masonic United Grand Lodge of England (Lodge ya Freemasons UK)   Picha ya Chini ni wanawake wa freemason   Ndani ya Lodge ya maFreemason na hao ndo mafreemasons … Read More
  • HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SAFARI HELIKOPTA YA DIAMOND MBAGALA DAR LIVE JANA! Posted by Teen Newz on April 30, 2012 at 12:00pm … Read More
  • RACHEL NA VIDEO YAKE MAMAAAAA   RACHEL  TOKA  THT  NA  UPEPO  WAKE … Read More
  • RICH ONE VP TENAAAA!!!!!! Rich one akiingia kituo cha polisi Msimbazi, check body language ya askari anaandikisha anacheka Rich one mwenyewe hana wasiwasi hata kidogo, inasemekana eti anatumia jina la Ally Kiba kujipatia&n… Read More
  • ZITTO, MDEE NA WASANII KIBAO NDANI YA WIMBO WA SAJUKI     Sadik Juma Kilowoko Sajuki katika picha tofauti. Kushoto alivyo sasa na kulia wakati akiwa mzima Picha hizi zinawaonyesha Sajuki na mke wak… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE