March 22, 2016


Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema Chidi Benz atamsaidia kuandika mashairi ya wimbo wake mpya alioupa jina ‘Kosa Langu.’

Kupitia Instagram, Diva amedai kuwa Mr Blue pia atahusika kwenye wimbo huo mpya unaovunja kimya chake cha zaidi ya miaka miwili kwenye muziki.

“@lamarfishcrab vibin this weekend , Nilikutana na Chid Benz Juzi, akaniahidi kuniandikia wimbo na Kusisitiza ndani ya Mwezi huu nifanye RNB Moja amazing,” ameandika Diva.

“Sometimes kuimba inahitaji hisia sana, hapa kati nimekubwa na misukosuko ya Mapenzi nikaumia sana , and i said why nat Put this into a love song … yes nikapata melody and the verse and chorus Paw jus like that .. called Lamar like YOH ‘ ts about time .. lets jus do the hook up, am very comfy when it comes to studio session with Lamar , matter fact ts been a while and me and blue this year tulikaa and discuss the return,” ameongeza.
“Then nikaanza andika , wimbo wangu verse ya Kwanza nimeandika Mwenyewe , Verse ya Pili itaandikwa na Chidi Benzi and Mr Blue Bayser atamalizia Na Rap Music , strictly RNB ‘ Leo usiku tunaanza kazi ya Kurekodi wimbo Unaitwa ‘ Kosa Langu ‘ saa 6:15 usiku , Production ya Fishcrab Cook Out. Utakuwa ni wa Kiswahili kilichounganika na kiingereza, a very beautiful song wish muuskize and Utatoka week 2 Mbele, after a week itakuja video then … kuusambaza All over Africa , so stay Tuned, always been a fan of Chidi and Mr. Blue, Very Talented…. But Kosa Langu is jus tooo emotional , huwezi amini i crieeed wakati naandika , trials and tribulations , love this and that but sucha happy song , Extremely.”
“I believe in Chiddi Benz Chuma, I believe in his Talent as well , amenisisitiza sana Kufanya this song .. and y’all kno me i live it to the fullest and always givin a shot .. i live to Please My heart … And wanna Be Happy man, Music is the way forward ya Happiness , This time hits me to the core .. and i can’t deny it ama go with The flow YO… lemme.”

Kabla ya hapo Diva aliwahi kuachia wimbo Piga Simu aliomshirikisha Diamond na Mgonjwa kwa raha zako aliomshirikisha Mr Blue.

Related Posts:

  • Mambo makubwa manne kutoka ACT Wazalendo leo   Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza mambo manne kuhusu kupekuliwa kwa  Ofisi za chama hicho na Jeshi la Polisi. Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi, Ado Shaibu imeeleza mambo ha… Read More
  • Official Video: Davido - Fia    Sony Music Entertainment International Limited Wanakuletea wimbo mpya kabisa wa mwanamuziki Davido kutoka nchini Nigeria.Enjoy sasa kwa kuutazama hapa chini        &nbs… Read More
  • Diamond na Rick Ross kuachia Kolabo yao December 1    Msanii wa Bongo Flava, Diamond Platnumz amesema kuwa kolabo yake na rapper Rick Ross itatoka Desemba Mosi mwaka huu. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Hallelujah’ amesema hayo ka… Read More
  • M2 The P kurudi kivingine, Jodan na Mirror wapo pia   Msanii wa muziki Bongo M2 The P ametangaza kurudi kivingine katika game pamoja na Mirror na Jodan. Mirror na Jodan ambaye walikuwa chini ya usimamizi wa Marehemu Ngwea wamekuwa kimya kwa muda sasa, hata hivyo … Read More
  • Hawa ndiyo wanaomkwamisha Baraka The Prince Msanii Baraka The Prince amemlaumu meneja wake wa zamani chini ya RockStar 4000 Seven Mosha pamoja na mpiga picha maarufu Mx Carter, kuwa ndio wanaohusika na kufelisha kazi yake mpya YouTube. Baraka ameyasema hayo a… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE