March 21, 2016


Mwandishi wa habari Salma Said aliyedaiwa kutekwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam amepatikana na kuangua kilio mbele ya waandishi wa habari akieleza namna alivyodhalilishwa na kupigwa na watekaji hao.

Taarifa za kutekwa kwa mwandishi huyo wa shirika la utangazaji la Ujerumani na gazeti la Mwananchi ilianza kujulikana mnamo tarehe 18  March 2016 mara tu baada ya kutekwa na watu wasiojulikana akiwa anatokea Zanzibar kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu yake ili kesho yake aweze kurejea visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa marudio,tukio ambalo ilizua mijadala katika mitandao ya kijamii na kusababisha watu kuzungumza mengi.


Hata hivyo mwandishi huyo ambaye amejikita katika habari za kutetea haki za binadamu na habari za siasa ameeleza alivyopigwa na watekaji hao bila huruma huku nia yao ikionekana ni kumzuia kushiriki uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar.
Video yake ipo hapa chini
 
                   

Related Posts:

  • Venus Williams apigwa chini katika tenisiKonta ameorodheshwa nambari 47 duniani Mchezaji nyota wa tenisi kutoka Uingereza Johanna Konta amemshinda Venus Williams 6-4 6-2 na kufika raundi ya pili ya shindano la tenisi la Australian Open mjini Melbourne. Konta, 24, al… Read More
  • Brand New Audio | Nipe Tamu - Every Day    Mwanamuziki chipukizi kabisa kutoka mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina la Every Day, amekuletea bonge ya wimbo wake unaoitwa Nipe Tamu. Wimbo umefanywa na Producer Sniper katika studio za Tushi Recordz za… Read More
  • Pitio la Magazeti ya leo jumanne january 19, 2016 Karibu mwana familia wa ubalozini.blogspot.com, Leo hii January 19,2016 siku ya jumanne tunakupa tena fursa ya kupitia magazeti yetu ya leo kama yalivyotufikia na kubeba habari zenye uzito wa juu. … Read More
  • Nahreel kamkatalia Mkenya Producer maarufu wa Tanzania kwenye muziki wa bongoflevaNahreel ameingia kwenye top stories za leo kwenye Dstv.com baada ya kukataa kumpa beat yake staa mmoja wa hip hop nchini Kenya. Nahreel ambaye mikono yak… Read More
  • Ashtakiwa kwa kusambaza picha whatsapp         Miili ya kwanza ya wanajeshi waliouawa Somalia iliwasili Nairobi Jumatatu Mwanamume mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kusambaza picha alizodai ni za wanajeshi wa Kenya waliouawa … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE