Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya
Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia leo, msiba upo nyumbani
kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Simba yavutwa Shati Moro, yatoka sare ya kavu na Mtibwa
Timu ya Simba imeshindwa kuondoka na ushindi kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro baada ya kulazimishwa sare ya kutokufungana na wakata miwa wa Morogoro mtibwa Sugar mechi iliyochezwa leo.
Baada ya…Read More
Breaking News: Rais Magufuli afanya uteuzi mwingine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo hii 17 January 2017 amemteua Mh. Jaji Prof. Ibrahim Juma kuwa kaimu jaji mkuu wa Tanzania
Mh. Jaji Prof. Ibrahim anachukua nafasi ya Jaji Mohamed O…Read More
Hili ndiyo shavu walilolamba Diamond na Zari Afrika Kusini
Zari na mpenzi wake,DIAMOND Platnumz,Toleo lijalo la Februari 2017.
MWANAMUZIKI mwenye taito kubwa kwa sasa nchini na Afrika, mtoto wa Tandale na Mkurugenzi wa Kampuni ya Wasafi Classic Baby (WCB), Nassib Abdul ‘Di…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment