Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita ameeleza mazingira ya kifo cha Kabwe na kusema kuwa aliugua kwa muda mrefu tangu mwaka jana akenda India kwa matibabu na liporejea alikuwa mzima lakini siku za karibuni alilazwa katika hospitali ya Mama Ngoma Mwenge hadi umauti ulipomkuta.
Kabla ya hajashika wadhifa wa kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam marehemu Wilson Kabwe ameshawahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza na baada ya tuhuma kadhaa aliahamishwa na kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment