Baad ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Deka, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Braiquiz amekuja tena na wimbo wak empya unaoitwa Nyumbani. Brai ni mwanamuziki anayetokea mkoani Morogoro na wimbo wake wa Nyumbani unazungumzia zaidi sifa za mkoa wa Morogoro. Wimbo umefanywa na Producer Muchmore $ D' Prince katika studio za Pure Records zinazomilikiwa na Producer Dizy Mchizi
WANANCHI WAUNGA MKONO NEMC KUPEWA MAMLAKA KAMILI
-
Na Mwandishi Wetu
WANANCHI mbalimbali mkoani Kigoma, Mtwara na maeneo mengine wamepongeza
hatua ya serikali kutaka kuifanya Baraza la Taifa la Hifadhi n...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment