Baad ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Deka, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Braiquiz amekuja tena na wimbo wak empya unaoitwa Nyumbani. Brai ni mwanamuziki anayetokea mkoani Morogoro na wimbo wake wa Nyumbani unazungumzia zaidi sifa za mkoa wa Morogoro. Wimbo umefanywa na Producer Muchmore $ D' Prince katika studio za Pure Records zinazomilikiwa na Producer Dizy Mchizi
MADINI YAIBUKA KAMA NGUZO YA MAENDELEO MOROGORO
-
🔶 Sekta yaongezeka kwa kasi, yajenga miundombinu na kuinua wananchi
Morogoro
Mauzo ya madini ya dhahabu mkoani Morogoro yamefikia Shilingi bilioni 16.51 ...
3 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment