Baad ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Deka, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Braiquiz amekuja tena na wimbo wak empya unaoitwa Nyumbani. Brai ni mwanamuziki anayetokea mkoani Morogoro na wimbo wake wa Nyumbani unazungumzia zaidi sifa za mkoa wa Morogoro. Wimbo umefanywa na Producer Muchmore $ D' Prince katika studio za Pure Records zinazomilikiwa na Producer Dizy Mchizi
Prof Kitila: Tunahitaji vyombo vya habari imara
-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwezeshaji, Profesa Kitila
Mkumbo, amesema Serikali...
8 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment