Aidha baada ya kuchukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa klabu hiyo ameeleza kuwa ameeleza kuwa kuna baadhi ya watu kwa kushirikiana na TFF wanahujumu uchaguzi wa klabu hiyo, pia amewasimamisha wanachama wote waliosikika kwenye audio ya watu wanaopanga kuhujumu uchaguzi wa Yanga na mwisho ameitaka TAKUKURU kufanya uchunguzi ili kuweza kubaini watu wanaotaka kuhujumu uchumi.
RAIS DKT. SAMIA AWAPONGEZA ORYX GASI, ATAKA WADAU KUPELEKA GESI VIJIJINI
-
Na Mwandishi Wetu,Muheza
RAIS Dkt..Samia Suluhu Hassan amekutana na Oryx Gas pamoja na wadau wengine
ambapo wamemuhakikishia wataendelea kuunga mkono kam...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment