Aidha baada ya kuchukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa klabu hiyo ameeleza kuwa ameeleza kuwa kuna baadhi ya watu kwa kushirikiana na TFF wanahujumu uchaguzi wa klabu hiyo, pia amewasimamisha wanachama wote waliosikika kwenye audio ya watu wanaopanga kuhujumu uchaguzi wa Yanga na mwisho ameitaka TAKUKURU kufanya uchunguzi ili kuweza kubaini watu wanaotaka kuhujumu uchumi.
Rais Samia: Tulitumia nguvu inayostahili, walitaka kufanya mapinduzi
-
RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema walitumia nguvu
inayostahili kudhibiti vurugu za tarehe...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment